Atala wa Bobbio
Mandhari

Atala wa Bobbio (Burgundy, karne ya 6 - Bobbio, Italia, 10 Machi 627) alikuwa mmonaki kutoka Ufaransa wa leo anayejulikana hasa kama mfuasi wa Kolumbani huko Luxeuil, alipohamia kutoka monasteri ya Lerins ili kupata maisha magumu zaidi.
Baada ya kufukuzwa nchini (612), walianzisha monasteri mpya huko Bobbio (614) ambayo baada ya mwaka mmoja ilibaki chini yake kutokana na kifo cha Kolumbani (615).
Aliongoza kwa ari na utambuzi hivi kwamba chini yake monasteri hiyo ikastawi sana pamoja na kuvuta Walombardi Waario katika Kanisa Katoliki[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Yona wa Bobbio, Vita Sancti Columbani et discipulorum eius, Ufaransa, 642 hivi.
- Dio è corazza dei forti. Testi del cristianesimo celtico (VI-X sec.), Rimini, Il Cerchio, 1998.
- Archivum Bobiense, Rivista annuale degli Archivi storici Bobiensi (1979-2008), Bobbio
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |