BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yaahirishwa huku Vance akijiondoa katika safari ya Uswizi
Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya Marekani kuondoa mzingiro wake wa kijeshi wa majini dhidi ya Iran.
Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni
Maafisa wengine katika serikali ya Trump, hawakabiliwi na shinikizo kama lile analokumbana nalo Vance kuhusu Iran.
Kuna hatari gani kuingia ndani ya nyumba ukiwa umevaa viatu?
Kuvaa viatu ndani ya nyumba kunaweza kuwa hatari kwa afya?
Simulizi ya kijana aliyempeleka kuku wake mgonjwa hospitalini ilivyobadili maisha yake
Kijana mwenye umri wa miaka 12 kutoka Ethiopia amekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuchukua hatua isiyo ya kawaida ya kumpeleka kuku wake mgonjwa katika hospitali inayotibu binadamu ili apatiwe matibabu.
Tetesi za Soka: Ofa ya kwanza ya Arsenal kwa Monga 'yapigwa chini'
Ofa ya kwanza ya Arsenal kwa Jeremy Monga imekataliwa na Leicester, Gunners pia wanajiandaa kumsaka Bradley Barcola na RB Leipzig wanawasiliana na Everton juu ya Barry.
Kwa nini aina hizi 11 za saratani zinaangamiza sana vijana?
Saratani za utumbo na matiti ndizo zinazojitokeza zaidi kwa vijana, zikiwa na jumla ya kesi 11,500 kwa mwaka, wakati saratani za kongosho na kibofu cha nyongo ni chache zaidi.
Kombe la Dunia 2026: Ratiba, msimamo na matokeo
Kombe la Dunia 2026: Nchi tatu, viwanja 16
'Ndugu yangu alijificha kwenye gunia la mchele': Nyota wakimbizi wanaocheza Kombe la Dunia
Wakati Antonio Rudiger alipoingia kwenye kinyang'anyiro hicho kama mchezaji wa akiba wakati wa ufunguzi wa Kombe la Dunia la Ujerumani - ushindi wa 7-1 dhidi ya Curacao kwenye Uwanja wa Houston - alijua familia yake kubwa ingemtazama kwa kujivunia.
Hegseth aonya Marekani itarejesha kizuizi cha majini makubaliano ya Iran yasipozingatiwa
Makubaliano hayo yenye vipengele 14, yanabainisha kuwa Iran haitamiliki silaha za nyuklia. Pia yanaanzisha mfuko wa dola bilioni 300 kwa ajili ya "ujenzi upya na maendeleo ya kiuchumi" ya Iran.
Hatari tatu zinazotishia makubaliano ya Iran na Marekani
Baada ya wiki kadhaa za mazungumzo, Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali, lakini tayari umakini umeelekezwa kwenye changamoto kubwa zinazoweza kuzuia kumalizika kwa vita.
Mwanamke anayeokoa nyoka dhidi ya binadamu
'Kulinda nyoka si suala la uhifadhi wa viumbe pekee, bali pia ni hatua muhimu katika kuokoa maisha ya binadamu kupitia maendeleo ya dawa zinazotokana na sumu ya nyoka', anasema mtaalam wa wanyama Taiwo Okikiola.
Enzi ya mizinga inafikia mwisho, Ukraine inataka kuirudisha vipi kwenye uwanja wa vita?
Uongozi wa Jeshi la Ukraine una azma ya kubadili hali hii ya kile kinachoitwa "udhaifu wa mizinga" katika siku za usoni.
Kombe la Dunia 2026 - Mechi na Matokeo
Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.
Mambo muhimu 14 waliyokubaliana Iran na Marekani
Makubaliano ya Marekani na Iran ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano kati ya nchi hizo mbili yamesainiwa na sasa yameanza kutekelezwa, afisa mmoja kutoka ikulu ta White House ameiambia BBC.
Iran yasema imeshinda vita, wananchi wake wanauonaje ushindi huo?
Ila kuna raia wa Iran ambao wapo ndani na nje ya nchi hiyo ambao hawaoni kama diplomasia ndiyo itatatua mgogoro uliopo, ila kwao ni nafasi nzuri ya kubadilisha utawala wa Iran.
Je, wanadamu wanaweza kupata watoto katika anga za juu?
Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.
Kwanini Kim Jong-un huwa hamzungumzii mama yake?
Ko alifariki kabla ya Kim Jong-il, ila kifo chake katika hospitali moja mjini Paris hakikutajwa na vyombo vya habari vya Korea kaskazini.
CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?
Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - "Yuda". Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?
Utata wa $300 bilioni za Iran unavyoibua vita mpya Marekani
Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa na Reuters, mfumo wa makubaliano kati ya Washington na Tehran unajumuisha mpango wa kuanzisha mfuko wa uwekezaji wa sekta binafsi wenye thamani ya dola bilioni 300 kwa ajili ya kuchochea uwekezaji nchini Iran baada ya vita vya miezi kadhaa vilivyoikumba nchi hiyo.
Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.
Hali ya maisha katika nchi tano salama zaidi duniani 2026
Viwango vya jumla vya amani vilizorota katika nchi 99, ikiashiria mwaka wa kumi na mbili mfululizo wa kushuka kwa hali ya usalama ulimwenguni.
Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.
Mataifa 10 ya Afrika yaliyo na uwezo mkubwa wa kiviwanda: Morocco yaipiku Afrika Kusini
Afrika imeshuhudia mabadiliko katika ukuaji wa kiuchumi kati ya Morocco na Afrika Kusini mwaka uliopita 2025, kulingana na Kielezo cha Maendeleo ya Viwanda cha Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB)
Kutoka kivuli hadi alama ya nguvu duniani, Putin alijengaje taswira yake?
Kwa miaka mingi, Vladimir Putin ameibadilisha Urusi kutoka taifa lenye demokrasia changa na dhaifu kuwa dola yenye mfumo wa kiutawala wa kimabavu ambao kwa kiasi kikubwa umejengwa kumzunguka yeye kama rais.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 19 Juni 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 19 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 19 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 18 Juni 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
























































